MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) ANAWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA NA NIA YA KUFANYA KAZI YA UDEREVA KUTUMA MAOMBI YA KAZI KWA NAFASI KUMI NA NNE (14) ZA KUAJIRI MADEREVA KWA MKATABA.
KATIKA UZINDUZI WA BENKI YA USHIRIKA TANZANIA, WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. KASSIM MAJALIWA ALITEMBELEA BANDA LA COPRA, AMBAPO BI. IRENE M.MLOLA, MKURUGENZI MKUU, ALIELEZEA JINSI COPRA INAVYOSAIDIA KUIMARISHA VYAMA VYA USHIRIKA NA KUFUNGUA FURSA ZA KIPATO BORA KWA WANACHAMA WAO.”
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT.SAMIA SULUHU HASSAN LEO TAREHE 28 APRILI AMETEMBELEA BANDA LA MAONESHO LA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO (COPRA) KATIKA MAONESHO YA USHIRIKA KUELEKEA UZINDUZI WA BENKI YA USHIRIKA KATIKA UKUMBI WA JAKAYA KIKWETE JIJINI DODOMA.
TANGAZO KUHUSU UTOAJI WA VIBALI VYA MAZAO YA MAHINDI NA MCHELE
FURSA YA KUTOA HUDUMA YA KUSAFISHA MAZAO YA MIKUNDE NA UFUTA
WADAU WA ZAO LA PARACHICHI KUTOKA MAENEO MBALIMBALI WAKIFUATILIA MADA WAKATI WA MKUTANO WA KWANZA WA KITAIFA WA WADAU WA ZAO LA PARACHICHI ULIOFANYIKA TAREHE 4 APRILI 2025 KATIKA UKUMBI WA MIDLAND HOTEL, DODOMA, TANZANIA. MKUTANO HUU ULIANDALIWA NA COPRA KWA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO PAMOJA NA TAHA.
WADAU WA ZAO LA PARACHICHI KUTOKA MAENEO MBALIMBALI WAKIFUATILIA MADA WAKATI WA MKUTANO WA KWANZA WA KITAIFA WA WADAU WA ZAO LA PARACHICHI ULIOFANYIKA TAREHE 4 APRILI 2025 KATIKA UKUMBI WA MIDLAND HOTEL, DODOMA, TANZANIA. MKUTANO HUU ULIANDALIWA NA COPRA KWA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO PAMOJA NA TAHA.
WAZIRI WA KILIMO, MHE. HUSSEIN BASHE, AKIFUATILIA MIJADALA WAKATI WA UFUNGAJI WA MKUTANO WA KWANZA WA KITAIFA WA WADAU WA ZAO LA PARACHICHI ULIOFANYIKA TAREHE 4 APRILI 2025 KATIKA UKUMBI WA MIDLAND HOTEL, DODOMA, TANZANIA. MKUTANO HUU UMEANDALIWA NA COPRA KWA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO PAMOJA NA TAHA.
WADAU WA ZAO LA PARACHICHI KUTOKA MAENEO MBALIMBALI WAKIFUATILIA MADA WAKATI WA MKUTANO WA KWANZA WA KITAIFA WA WADAU WA ZAO LA PARACHICHI ULIOFANYIKA TAREHE 4 APRILI 2025 KATIKA UKUMBI WA MIDLAND HOTEL, DODOMA, TANZANIA. MKUTANO HUU ULIANDALIWA NA COPRA KWA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO PAMOJA NA TAHA.
WADAU WA ZAO LA PARACHICHI KUTOKA SEHEMU MBALIMBALI WAKIFUATILIA MADA WAKATI WA MKUTANO WA KWANZA WA KITAIFA WA WADAU WA ZAO LA PARACHICHI ULIOFANYIKA TAREHE 4 APRILI 2025 KATIKA UKUMBI WA MIDLAND HOTEL, DODOMA, TANZANIA. MKUTANO HUU ULIANDALIWA NA COPRA KWA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO PAMOJA NA TAHA.
KATIBU MKUU WA WIZARA YA KILIMO, BW. GERALD MWELI, AKITOA HOTUBA WAKATI WA UFUNGUZI RASMI WA MKUTANO WA KWANZA WA KITAIFA WA WADAU WA ZAO LA PARACHICHI ULIOFANYIKA TAREHE 4 APRILI 2025 KATIKA UKUMBI WA MIDLAND HOTEL, DODOMA, TANZANIA. MKUTANO HUU ULIANDALIWA NA COPRA KWA USHIRIKIANO NA WIZARA YA KILIMO PAMOJA NA TAHA.
MAWASILIANO NA DAWATI LA HUDUMA KWA MTEJA LA MAMLAKA YA UDHIBITI WA NAFAKA NA MAZAO MCHANGANYIKO
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka amesema Serikali mkoani humo itaendelea kutoa ushirikiano kwa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko ( COPRA) ili kuboresha zaidi na kulinda mafanikio ya mkoa wa Njombe kwenye uzalishaji na biashara ya nafaka na mazao mchanganyiko. Mhe. Mtaka ameyasema hayo alipokutana na Mkurugenzi Mkuu wa COPRA Bi.Irene Mlola Ofisini kwake aliyeambatana na kikosi kazi kinachojumuisha wataalamu kutoka COPRA, Wizara ya Kilimo, Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHPA), Umoja wa Wakulima wa Parachichi (ASTA) kinachofanya kazi ya kubaini changamoto za uzalishaji na biashara ya zao la parachichi katika Wilaya zote zinazozalisha parachichi nchini Tanzania.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko ( COPRA), Bi
Irene Mlola leo tarehe 21 Februari, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya. Katika mazungumzo yao, wamejadiliana mikakati ya kusimamia na kuendeleza zao la parachichi katika wilaya yaRungwe mkoni Mbeya. Aidha Mkurugenzi Mlola ameongoza kikao cha Wataalam kutoka Wizara ya Kilimo, Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu (TPHP), Taasisi ya Kuthibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI), Umoja wa Wakulima wa Parachichi Tanzania (ASTA) na Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kujadili namna ya kutatua changamoto zinazolikabiii zao la parachichi.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko akiongoza viongozi wa Tanzania kwenye Maonesho ya Pulse Conclave yanayoendelea mjini New Delh nchini India, Februari 2025.
Mhe. Dkt. Biteko ameambatana na Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. David Silinde, Balozi wa Tanzania nchini India Mhe. Hanisa Mbega, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) Bi. Irene Mlola, Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) Bw. Asangye Bangu, Mtendaji Mkuu wa Soko la Bidhaa Tanzania (TMX) Bw. Godfrey Malekano, Mrajisi wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC) Dkt. Benson Ndiege.