Kikao cha Kupitia na Kuboresha Rasimu ya Kanuni za Copra – Morogoro, Novemba 2024
Kikao cha Kupitia na Kuboresha Rasimu ya Kanuni za Copra – Morogoro, Novemba 2024

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), kwa kushirikiana na ASPIRES kupitia mradi wa Feed the Future Tanzania Kilimo Tija (KTA) na Wizara ya Kilimo kupitia Mradi wa Kuwezesha Upatikanaji wa Pembejeo za Kilimo Tanzania (TAISP), wakiwa Morogoro kwa ajili ya kupitia na kuboresha rasimu ya kanuni za Utekelezaji wa Sheria ya Usalama wa Chakula Sura 249 na marekebisho yaliyofanywa kupitia sheria ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko Sura 274 - Novemba 2024
Lengo la hatua hii ni kuhakikisha ushirikishwaji wa wadau wote na kuhakikisha kanuni zinaendana na mahitaji ya sasa katika sekta ya kilimo.
#ShirikishaBoreshaEndeleza #COPRA
07 February, 2025
ZIARA YA HESHIMA KWA BANDA LA TANZANIA - FRUIT LOGISTICA, BERLIN, UJERUMANI – 6 FEBRUARI 2025
22 January, 2025
Tarehe 17 Januari 2025, Mamlaka kwa kushirikiana na Mtandao wa Wadau wa Mazao ya Mikunde Tanzania (Tanzania Pulses Network – TPN), ilifanya kikao jijini Dar es Salaam na wanunuzi na wasafiris